MAANA YA MISIMU:
- Misimu ni semi za muda na mahali maalum ambazo huzuka na kutoweka kutegemea mazingira maalum. misimu inayodumu huweza kuingia katika methali, nahau au misemo ya lugha ya jamii hiyo.
- pekee
- kitarafa.
- zagao
- Huzuka na kutoweka kufuatana na mabadiliko ya jamii.
- Ni lugha isiyo sanifu.
- Ina chuki (kutoelewana) kwani maneno mengi yamebeba kebehi.
- Ni lugha ya mafumbo.
- Ina maana nyingi.
- Hutumika kupamba lugha.
- Hutumika kukuza lugha.
- Hutumika kutunza historia ya jamii fulani.
- Hutumika kuibua hisia mbalimbali za wazungumzaji.
- Hufurahisha na kuchekesha.
MATATIZO YA MISIMU:
- Misimu huleta msamiati wenye matusi: baadhi ya matumizi ya misimu huleta maneno yenye matusi katika lugha inayohusika , mfano, demu –msichana ambaye niwa muda tu.
- · Misimu hupunguza hadhira: kutokana na misimu kuzushwa na kikundi kidogo cha watu , basi misimu hiyo hufahamika na kikundi hicho tu na hivyo hupunguza hadhira .
- · Misimu ni lugha ya mafumbo na hufahamika na kikundi kidogo kinachotumia misimu hiyo: misimu kama lugha ya mafumbo si rahisi mtu asiye mwenyeji wa kikundi hicho kuelewa kile kinachozungumwa na kikundi hicho.
- · Misimu huzuka na kutoweka: misimu ina tabia ya kuzuka na kutoweka hivyo inakuwa na mchango sana katika kukuza lugha inayohusika.
- · Misimu imetiwa chumvi nyingi kwa hiyo haiamiki katika jamii: kutokana na hali hii hutegua mawasiliano.
ningeomba kwamba kwenye misimu mfafanue kwa mfano sifa mojawapo ya misimu inasema ;misimu ina chuki,mimi sijaielewa.
ReplyDeleteIna chuki (kutoelewana) kwani maneno mengi yamebeba kebehi.
Deleteningependa kuuliza kama kuna matatizo yanayotokana na kutumia misimu?na kama yapo hayo matatizo je ni yapi?
ReplyDeleteMATATIZO YA MISIMU:
DeleteMisimu huleta msamiati wenye matusi: baadhi ya matumizi ya misimu huleta maneno yenye matusi katika lugha inayohusika , mfano, demu –msichana ambaye niwa muda tu.
· Misimu hupunguza hadhira: kutokana na misimu kuzushwa na kikundi kidogo cha watu , basi misimu hiyo hufahamika na kikundi hicho tu na hivyo hupunguza hadhira .
· Misimu ni lugha ya mafumbo na hufahamika na kikundi kidogo kinachotumia misimu hiyo: misimu kama lugha ya mafumbo si rahisi mtu asiye mwenyeji wa kikundi hicho kuelewa kile kinachozungumwa na kikundi hicho.
· Misimu huzuka na kutoweka: misimu ina tabia ya kuzuka na kutoweka hivyo inakuwa na mchango sana katika kukuza lugha inayohusika.
· Misimu imetiwa chumvi nyingi kwa hiyo haiamiki katika jamii: kutokana na hali hii hutegua mawasiliano.
asante nimeelewa
ReplyDeleteasante kama umelewa
Deletemaneno ambayo yanaweza kuwa mifano ya misimu kitarafa
ReplyDeleteMisimu kitarafa:
Deletehii ni misimu iliyovuka vitongoji na mji na kuenea maeneo mbalimbali:
mfano futa- ni mtu ambaye hana akili timamu (misimu hii inapatikana vijiweni).
1-cha hela - mpenda pesa ( misimu ya nyumbani).
2- shegha- safi ( misimu hii inapatikana vijiweni).
3- Bati - shilingi mia (misimu hii ni misimu ya pesa).
Ni ipi mifano ya misimu?
ReplyDeleteMfano ni baba wa taifa kumaanisha rais
DeleteNaomba kujua mofano zaidi ya misimu
ReplyDeleteNi zipi vyanzo vya misimu
ReplyDeleteNi zipi vyanzo vya misimu
ReplyDeleteIviniipi mifano ya misimu
ReplyDeleteNiipi mifano ya misimu
DeleteNataman kujua hoja 5 za dhima za misimu
ReplyDelete(a) huhifadhi siri ,(b) hupunguza hadhira ,(c) ni kitambulisho cha kikundi Fulani ,(d) hukuza lugha na (d) kupamba lugha na kadhalika
DeleteAsante umenisaidia mno
ReplyDeleteAsante lakini mbona misimu husanifishwa na kuingizwa katika lugha sanifu
ReplyDeleteAsante mno lakini naomba ufafanuzi wa kina sio juu juu
ReplyDelete