- hukuza ushujaa katika jamii.
- hukuza na kuendeleza mila na desturi za jamii.
- huburudisha jamii.
- huimarisha utendaji kazi katika jamii.
- kukuza,humarisha fani ya kutamba,lugha na kujieleza.
- kujenga uaminifu katika jamii.
- hukuza na kuendeleza ubinafsi.
- mkusanyiko wa hadhira hutumia fedha.
- huleta chuki, uhasama, fitina katka jamii.
- husababisha unafiki
asante sana
ReplyDeleteNapenda huduma yenyu
ReplyDeleteKazi safi
ReplyDelete