Bainisha mofumo zilizomo katika maneno yafuatayo na eleza kazi za kila mofumu.

  1. Akijikinga    a-ki-ji-king-a
  2.                    1 2  3    4   5
  •    1 -  kiambishi awali kipatanishi kinaonyesha nafasi ya tatu umoja.
  •    2 - Kiambishi awali rejeshi cha mtenda.
  •    3 - Kiambishi awali rejeshi cha mtenda.
  •    4 - Mzizi.
  •    5 - Kiambishi tamati kinaonyesha utimilifu wa tendo.



  1. Wameachiliana      wa-me-achili-an-a.
  2.                               1     2      3    4  5
  •    1 -  kiambishi awali kipatanishi nafasi ya tatu wingi.
  •    2 -  Kiambishi awali cha hali kitimilifu.
  •    3 - mzizi 
  •    4 - kiambishi tamati cha kutendeana.
  •    5 - kiambishi tamati kijenzi kinaonyesha utimilifu wa tendo.



  1. Kitakachapatikana    Ki-ta-ka-cho-pa-ti-ka-na.
  2.                                   1  2   3    4   5   6  7    8
  • 1- kiambishi awali kipatanishi cha kitu.
  •  2- kiambishi awali cha wakati ujao.
  •  3 - kiambishi awali rejeshi cha kitendwa.
  • 4  - kiambishi awali rejeshi cha kitendwa.
  • 5 - mzizi 
  • 6 -kiambishi tamati cha utendaka.
  • 7 - kiambishi tamati cha kutendeana.
  • 8 -kiambishi tamati kionyesha utimilifu.



  1. Uliyembembeleza     a-li-ye-m-bembelez -a  
  2.                                 1 2  3  4        5         6
  • 1 -kiambishi awali kipatanishi nafsi ya pili umoja
  • 2 -kiambishi awali cha wakati uliopita.
  • 3 -kiambishi awali rejeshi cha mtenda.
  • 4 -kiambishi awali rejeshi cha mtenda.
  • 5 -mzizi.
  • 6 -kiambishi tamati kioneshi utimili wa tendo.




  1. Amefungua      A -me-fungu-a
  2.                         1    2      3   4
  •  1 - kiambishi awali kipatanishi nafasi ya tatu umoja.
  •   2 -kiambishi awali cha hali timilifu.
  •  3  - mzizi 
  • 4 - kiambishi tamati kinaonyesha utimilifu wa tendo.


  1. Msichokijua         M-si-cho-ki-ju-a
  2.                              1  2  3    4  5   6
  • 1 - kiambishi awali kipatanishi cha nafsi ya pili  wingi.
  • 2 -  kiambishiawali kikanushi.
  • 3- kiambishi awali rejeshi cha watenda.
  • 4-  kiambishi awali rejeshi sha kitu.
  • 5- mzizi.
  • 6 - kiambishi tamati kinaonyesha utimilifu.                              



Share on Google Plus

About Se

mwiza peter ni mwalimu ambaye alipata taaluma hii chuo cha ualimu morogoro(motco) kwa sasa nipo mwanza Tanzania ni miongoni mwa vijana ambao lengo langu nikukufanya wewe kupata elimu kuhusu somo la kiswahili na kuongeza ufaulu wa somo hili. tupo mwanza Tanzania.karibu mwaa tunawapenda wote.elimu ni ukombozi wa maisha chukua hatua
    Blogger Comment

1 comments:

  1. Katika namba 1 mofimu ya pili inadokeza hali ya masharti (ki)

    ReplyDelete