"FASIHI SIMULIZI IKIHIFADHIWA KATIKA MAANDISHI HUPUNGUZIWA UHAI WAKE KWA KIASI KIKUBWA ", JADILI

       


Fasihi simulizi ni aina ya sanaa inayowasilishwa kwa kutegemea masimulizi ya mdomo na hurithishwa toka kizazi kimoja hadi kizazi kingine.fasihi hii kwa muda mrefu imekuwa ikihifadhiwa kwa njia ya kichwa lakini kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia huhifadhiwa pia katika maandishi,vinasa n.k

  • Kukosekana au kutokuwepo kwa fanani ambaye huifanya fasihi hii iwe hai zaidi.
  • Hadhira haitakuwepo hai kwani haitashirikiana na fanani aliyeibuni kazi hiyo.
  • Haitakuwa na hali ya utendaji, hivyo vitendo havitaonekana na kutokana na hali hii haitakuwa na uhai.
  • Haitakuwa na hali ya ushiriki kati ya hadhira na fanani.
  • Itakuwa ni mali ya watu wachache hasa wale wajuao kusoma
Share on Google Plus

About Se

mwiza peter ni mwalimu ambaye alipata taaluma hii chuo cha ualimu morogoro(motco) kwa sasa nipo mwanza Tanzania ni miongoni mwa vijana ambao lengo langu nikukufanya wewe kupata elimu kuhusu somo la kiswahili na kuongeza ufaulu wa somo hili. tupo mwanza Tanzania.karibu mwaa tunawapenda wote.elimu ni ukombozi wa maisha chukua hatua
    Blogger Comment

1 comments:


  1. Nashukuru nimefurahi nimepata mafunzo mazuri sana nashukuru jaman

    ReplyDelete