"Fasihi simulizi ni hai", kwa kutumia mifano fafanua uhai huo.

                Fasihi simulizi ni utanzu mmojawapo wa fasihi ambazo ambazo huwasilishwa kwa njia ya mdomo na hurithishwa toka kizazi kimoja hadi kingine. tanzu za fasihi hii ni pamoja na ushairi,semi,sanaa za maonyesho na hadithi. mambo yanayoifanya fasihi simulizi iwe hai ni kama ifuatavyo:

  • Kuwepo kwa hali ya utendaji ambapo hushirikisha hadhira na fanani.
  • Kubadilika kulingana na wakati na mazingira.
  • kuwepo kwa mtendaji ambaye ndiye mtendaji mkuu wa fasihi simulizi. huyu ndiye anayerithisha kazi za fasihi simulizi toka kizazi kimoja hadi kizazi kingine.
  • kuwepo kwa hadhira .
  • kuwepo kwa utegemezi katika fasihi simulizi hiufanya iwe hai.
  • Huzaliwa, hukua na mwisho hufa kulingana  na maendeleo ya jamii .
Share on Google Plus

About Se

mwiza peter ni mwalimu ambaye alipata taaluma hii chuo cha ualimu morogoro(motco) kwa sasa nipo mwanza Tanzania ni miongoni mwa vijana ambao lengo langu nikukufanya wewe kupata elimu kuhusu somo la kiswahili na kuongeza ufaulu wa somo hili. tupo mwanza Tanzania.karibu mwaa tunawapenda wote.elimu ni ukombozi wa maisha chukua hatua
    Blogger Comment

4 comments:

  1. ninaona ingekuwa vyema kma ungeeleza ingimfungua mwanafunzi na kumpa uelewa zaidi hasa huu wakati wa nyumbani

    ReplyDelete