Maana kishazi na aina zake

                 Kishazi:
               ni tungo yenye kitenzi , kitenzi hicho chaweza kuwa kinajitosheleza yaani kinaleta maana kamili iliyotarajiwa au hajitoshelezi yaani hakiwezi kuleta maana iliyo kusudiwa  kikisimama pekee yake.

                   Aina za kishazi:  
  • Kishazi huru ni kishazi kinachotawaliwa na kitenzi kikuu ambacho kwa kawaida hutoa ujumbe kamili usiohitajika maelezo zaidi ya kukamilisha maana:
          Mfano: mzee analima, watoto wazuri wanakimbia.

  • Kishazi tegemezi (K/Tg) ni kishazi kinachotawaliwa na kitenzi kisaidizi ambacho kwa kawaida hutoa tabia yake hakikamilishi ujumbe uliokusudiwa bnli hutegemea kitenzi kikuu kutoa ujumbe uliokusudiwa.
             mfano: mtoto aliyekuja jana.
Share on Google Plus

About Se

mwiza peter ni mwalimu ambaye alipata taaluma hii chuo cha ualimu morogoro(motco) kwa sasa nipo mwanza Tanzania ni miongoni mwa vijana ambao lengo langu nikukufanya wewe kupata elimu kuhusu somo la kiswahili na kuongeza ufaulu wa somo hili. tupo mwanza Tanzania.karibu mwaa tunawapenda wote.elimu ni ukombozi wa maisha chukua hatua
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment